Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
No body can stop REGGAE Wapenzi wa muziki wa Reggae mpo ?
Reggae imewekwa katika orodha ya kumbu kumbu ya utamaduni ambao unastahili kutunzwa kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa.
Muziki huo ambao chimbuko lake ni Jamaica ulianza miaka ya 1960 kutokana na juhudi ya wasanii kama vile Toots na the Maytals, Peter Tosh na Bob Marley, umeongezwa katika orodha hiyo kutokana "urithi wa utamaduni usioonekana".
Reggae imewekwa katika orodha ya kumbu kumbu ya utamaduni ambao unastahili kutunzwa kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa.
Muziki huo ambao chimbuko lake ni Jamaica ulianza miaka ya 1960 kutokana na juhudi ya wasanii kama vile Toots na the Maytals, Peter Tosh na Bob Marley, umeongezwa katika orodha hiyo kutokana "urithi wa utamaduni usioonekana".
