Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,426
Natibu mbavu zilizo tenguliwa
Hahahaha..
December ndio hii ,Makapuku
Hahahaha..
December ndio hii ,Makapuku
DRC?
Asalaym alyequm bby!Hakuna neno,wewe tu na juhudi zako
HahahahaDRC?
Hahahaha
Anatoka JKK anaingia ERS
Tulewe tu ,December ndio hii
Ugimbi mpk January
Hahahahaha
Aiseee,,vp zile prims znapatikana pia?(sina uhakika sina na hilo jina lake??
Kweli aisee,,funga mwaka hii mkuu
HahahahaHahahaha
primus, Mutzing,Skoll zote kama kawa
December hii ukiona MTU anaenda kazini j3 ,mtumwa huyo ,acha nae ,atakuppotezea muda, Hahahaha
NB : Usiku wa Leo ni Wilder vs Furry,
heavyweight boxing
HahahahaHahahaha
Nasikia hzo primus sio za mchezo mchezo,znaweza kukuzngua
Aisee,,huo mpambano kumbe ni leo,,atakayeshinda hapo anakutana na AJ,,ila sema Furry atachakwaza leo
HahahahaHahahaha
Kuhusu mpambano tusubiri muda ufike
Primus km safari, kawaida tu
HahahahaHahahaha
Sawa sawa mkuu,,
Ngoja tusubiri huo mpambano wa wanaume
HahahahaHahahaha
Umeaga lkn,usije kutenguliwa ukanipa lawama
Hahahaha
Kuaga lazima mkuu,,nikiondoka kimya kimya naweza kupewa bun ya mwezi
Siunawajua watt wa kishombeshombe utakuta ameshakuwa mwekundu,,kakasilika
Hahahaha
Shukran sana mkuu
HahaHahahaha
HahahahaHaha
Makapuku wamepotelewa wapi leo??
Au wapo wanaukarbsha mwez kwa shayo
Haha
Makapuku wamepotelewa wapi leo??
Au wapo wanaukarbsha mwez kwa shayo