moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 8,040
- 16,870
Rafiki nimemuona Archduke akija huku mbio sijajua tatizo ni nini!ndio huyo bebe umentaftia au umeniita tu niitke abee



Heh!!
Shangaz huyu nani tena??uteuzi bado unaendelea







nimecheka hadi machozi yametoka
nilimuombaTobaaa na wewe kakutafutia
Rafiki sijamwita mimi ila nimemuona akiwa mbio-speed ya mwanga kuja huku ndiyo nikajiuliza kulikoni!!Ndio mana baba ako akasema tukutaftie mdogo wako ushakua son, umemuita aje afajyaje sasa



Hapana,,,nakipenda tuTuko njia moja, naona unakunywa helto we nyumbani au?
Teuzi nyingi za jiwe hufanyika weekend mkuuJiwe yupo busy na teuzi kama kawa!!![]()
Salama kabsa,,habar za weekendsafi za wewe
Hahaha unanicheka tena
Mimi jiwe hanipendi kabisa,hataki kunipa hata ubalozi wa nyumba kumikumi!!Teuzi nyingi za jiwe hufanyika weekend mkuu
napata tabu kukuamini, lakini tutafika tuHapana,,,nakipenda tu
Safi sana kumbe na ww ni mpenz wa hiki kinywaji
Haya mpnz,kazi kwako sasanilimuomba
Nzuri shemejiSalama kabsa,,habar za weekend