Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakuu habr zenu nimewamisi sanaaaaaa

Tutambue umoja wetu ndio mafanikio yetu

Jambo kuu huwa kuu kwa kuwa kuna watu wamelifanya kuwa kuu

Tuwe watu wenye subira pamoja na uvumilivu

Tuepuke kuwa kikwazo kwa wengine

Tuwe tayari kuomba msamaha pale tunapo potoka

Mnisamehe pale nilipo wakosea kwa namna moja au nyingine

Niwatakie kila la kheri tunavyo uaga mwaka 2018 na kusubiri 2019

Kila jambo huja na wakati wake na huisha kwa wakati wake

Mapito kwa mwanadamu ni sehemu yake

Tuwe na amani ya bwana

Mungu atuongoze kwa yote

Nawapenda kapuku wenzangu

Huu ni ujumbe wangu wa mwisho kwa huu mwaka

Tuonane mwakani 2019
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom