Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hata hivyo daktari huyo amemaliza kwa kuwashauri wazazi kuwa makini na unga walishe wanao wapatia watoto wao.
Na wakague nafaka ambazo zinatumika kuwa zime oshwa,kukauka vizuri na zime wekwa kwa kiasi.
Mfano kama umeweka kilo mbili ya wanga basi weka kilo moja ya protini. Yaweza kuwa mahindi, ngano na mchele kisha ukachagua protini moja kati ya soya au karanga.
Mwisho amemaliza kwa ku onya kuwa maharage ya soya huwa yanachelewa kuiva hivyo ukitaka kuya weka kwenye uji uwe makini kwa kuyaandaa vyema kabla ya kuchanganya.
 
Kupata mtoto ni safari mpya wazazi huanza kuipitia, ni kipindi ambacho hubadilisha maisha na mipango ya wazazi.
Chakula sahihi cha kumpatia mtoto anayeanza kula ni moja ya mambo muhimu ambayo huwasumbua wazazi wengi.
Kwa kawaida mtoto kuanzia umri wa miezi sita huanza kupewa uji maalumu kama kianzio cha kuanza kujifunza kula.
Wachache sn waliobaki wakifata hili swala la mtt aanze kula akiwa ametimia miezi 6,
Sijui ni mbio za maisha au ni uvivu wa kunyonyesha. ? Au ndio mambo ya ukinyonyesha urembo bc.?
Asante Numbisa
 
Hahahaha, yameisha shangazi ,ila sina mbebezi wala matako ya mbebezi ,[ na kama yupo ajitokeze]

ilikua ni changamsha genge tu ,naona km imekua tofauti

Samahani kwa wote kwa usumbufu hapa makapuku

Tuendelee Kufurahia Uzi wetu kwa Aman
Hahahahaha
Kwahiyo ukiona hivyo unaona tunakulana simjui anafananaje hanijui nafananaje

Ana bebez wake huyo waone vile wajue ananikula nianzishiwe thread siku hizi nimeamua kuwa binti mpole tu
 
Hahahaha, yameisha shangazi ,ila sina mbebezi wala matako ya mbebezi ,[ na kama yupo ajitokeze]

ilikua ni changamsha genge tu ,naona km imekua tofauti

Samahani kwa wote kwa usumbufu hapa makapuku

Tuendelee Kufurahia Uzi wetu kwa Aman
Hatukusamehi ng'oo hadi kwanza utuelekeze kisusio na mbege vinapatikana wapi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom