Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Makiss kiss mbona huwapiKumbatio hilo pokeeni makapuku toka kwangu![]()
Makiss kiss mbona huwapiKumbatio hilo pokeeni makapuku toka kwangu![]()
Watu wana visaHahhahah hiyo sijui amemaliza zote name season ya kwanza season ya pili na kuendelea anauza


Hivi unamjua Ngabu unamsikia ngabu hakufwagi kifwala ujueWooooooooooiiiiiiiiiiiii kitu cha pogba utamuaa Nyani Ngabu
Nasikia kimara na mbagala zinanyesha etiKwani shangazi Daslam hua inanyesha mvua gani eti ?![]()
Anauza jamani ndio kazi yake ujueWatu wana visa![]()
Tutamsapoti asijaliAnauza jamani ndio kazi yake ujue
Kwahiyo yy aonje nn hapo kwenye churaMpishi bila kuonja atakua amepika sumu Shangazi![]()
Ukihamia uko usinisahau na mm kabisanahamia huko
Subiri kwanzaKwahiyo yy aonje nn hapo kwenye chura
Maneno matupu hayalambwi mkuu we to a mahela
Hili halikwepeki me tunauchu kama vile tunawazidi utam masikini kumbe tunaambuli 1 katika 100 dahUmoja wa Afrika umekiri kuwa rushwa ya ngono ni tatizo sugu kwa wale wanaotafuta ajira katika shirika hilo la kimataifa.
Mwenyekiti wa umoja huo Moussa Faki amesema uchunguzi wa ndani umebaini asilimia kubwa ya walioathirika ni wanawake wanaotafuta nafasi za kazi za muda.View attachment 945513