Makapuku Forum

Makapuku Forum

Umoja wa Afrika umekiri kuwa rushwa ya ngono ni tatizo sugu kwa wale wanaotafuta ajira katika shirika hilo la kimataifa.

Mwenyekiti wa umoja huo Moussa Faki amesema uchunguzi wa ndani umebaini asilimia kubwa ya walioathirika ni wanawake wanaotafuta nafasi za kazi za muda.View attachment 945513
Hili halikwepeki me tunauchu kama vile tunawazidi utam masikini kumbe tunaambuli 1 katika 100 dah
 
.
Screenshot_20181125-101918.jpeg
Screenshot_20181125-101932.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom