Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,121
- 1,249,294
Kuna sababu nyingi lakini kubwa kuliko ni uvivu na kuogopa kuchuja urembo eti maziwa yatalala vibaya.
Wapo wanaosema kazi nyingi ila mama mwenye kujitambua hata kama ana ajira busy huwa anakumbuka kutenga muda wa mwanae kunyonya.
Wapo wanaoachisha watoto kunyonya ili tu bata zisimpite,ofa za bure etc
Wapo wanaosema kazi nyingi ila mama mwenye kujitambua hata kama ana ajira busy huwa anakumbuka kutenga muda wa mwanae kunyonya.
Wapo wanaoachisha watoto kunyonya ili tu bata zisimpite,ofa za bure etc
Wachache sn waliobaki wakifata hili swala la mtt aanze kula akiwa ametimia miezi 6,
Sijui ni mbio za maisha au ni uvivu wa kunyonyesha. ? Au ndio mambo ya ukinyonyesha urembo bc.?
Asante Numbisa




