Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna sababu nyingi lakini kubwa kuliko ni uvivu na kuogopa kuchuja urembo eti maziwa yatalala vibaya.

Wapo wanaosema kazi nyingi ila mama mwenye kujitambua hata kama ana ajira busy huwa anakumbuka kutenga muda wa mwanae kunyonya.

Wapo wanaoachisha watoto kunyonya ili tu bata zisimpite,ofa za bure etc
Wachache sn waliobaki wakifata hili swala la mtt aanze kula akiwa ametimia miezi 6,
Sijui ni mbio za maisha au ni uvivu wa kunyonyesha. ? Au ndio mambo ya ukinyonyesha urembo bc.?
Asante Numbisa
 
Asantee Numbisa
Kuna sababu nyingi lakini kubwa kuliko ni uvivu na kuogopa kuchuja urembo eti maziwa yatalala vibaya.

Wapo wanaosema kazi nyingi ila mama mwenye kujitambua hata kama ana ajira busy huwa anakumbuka kutenga muda wa mwanae kunyonya.

Wapo wanaoachisha watoto kunyonya ili tu bata zisimpite,ofa za bure etc
 
Kupata mtoto ni safari mpya wazazi huanza kuipitia, ni kipindi ambacho hubadilisha maisha na mipango ya wazazi.
Chakula sahihi cha kumpatia mtoto anayeanza kula ni moja ya mambo muhimu ambayo huwasumbua wazazi wengi.
Kwa kawaida mtoto kuanzia umri wa miezi sita huanza kupewa uji maalumu kama kianzio cha kuanza kujifunza kula.
Watoto wa sasa hivi walivyokuwa na njaa wanaanza kulishwa miezi miwili tu
 
jamaniiii. Hamna bana nabisha ni uvivu tu wa wazazi. Mtoto ni mtoto hana cha usasa na uzamani basi tu mazingira anayojikuta nayo yanampelekesha,just imagine mtoto wa gigy money yule huwez sema kana njaa ndo maana kanalishwa mapema bali mama mtu hana muda wa kukalisha tako kunyonyesha.
Watoto wa sasa hivi walivyokuwa na njaa wanaanza kulishwa miezi miwili tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom