Ya Patrick hajauchuna season 2 anauza whatsappEti nimeisahaualieipost mpk 8 thn kauchuna kimya
Zimeisha toto ndio nimetoka church hapaNiko poa,shangazi hangover imeshaisha?![]()
Rafiki ile chura yetu ya Kichina inaendeleaje?Makapuku Nawasalimia.alafu nawamiss![]()



Kuna usalama ?Shualina yuko wapi?
Wooooooooooiiiiiiiiiiiii kitu cha pogba utamuaa Nyani NgabuKwahiyo unajifanya haujaona ulichoulizwa
Kwani shangazi Daslam hua inanyesha mvua gani eti ?


Rafiki ile chura yetu ya Kichina inaendeleaje?![]()

imezaa matunda,uscheze mbali badae ntakuletea uone matokeo 
Ya Patrick hajauchuna season 2 anauza whatsapp

Heee..asubiri nimalize zote kwanza ndio aniuzie.
Kumbatio hilo pokeeni makapuku toka kwanguChukua jukumu la kuwaonesha upendo wanaokupenda.
Wakati mwingi tunasingizia kazi na harakati za kutafuta chakula lakini huja siku ukafutwa kazi. Pesa nazo huisha mtu ukafilisika. Lakini jamii huwa nawe hata baada ya kufariki.
Tupende wanaotupenda!View attachment 945515View attachment 945516


Hahhahah hiyo sijui amemaliza zote nane season ya kwanza season ya pili na kuendelea anauzaHeee..asubiri nimalize zote kwanza ndio aniuzie.
Alafu naitafuta Jini MWEUSI sijui iliishaje kwakweli na sijui ilipo pia.