Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,151
- 137,139
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
woyoooo
We ABJ Uko siku zote humu JF?
Sijawahi kukutia mimi...
I mean sijawahi kukutia machoni. Siyo kukutia ile kivingine.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
woyoooo
Numbii sio uvivu tena watoto wa kiume wana njaa mnooo nina jirani yangu hapa ana mtoto wa kiume akimnyonyesha maziwa mtoto hashibi ameanza kunywesha uji na huyo dada ni mama tu wa nyumbanijamaniiii. Hamna bana nabisha ni uvivu tu wa wazazi. Mtoto ni mtoto hana cha usasa na uzamani basi tu mazingira anayojikuta nayo yanampelekesha,just imagine mtoto wa gigy money yule huwez sema kana njaa ndo maana kanalishwa mapema bali mama mtu hana muda wa kukalisha tako kunyonyesha.
Wala,amesema atanipa joto ya jiwe ndiyo nionje!Anataka kukupa chura uonje
Mke wa binamu huyoooo kutoka honeymoon![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
woyoooo
Aisee!!Hahahaa jirani ni Mimi jamani
Mambo yako?nilikumis eti
Nimekutana nae uko chitchat akaniambia alikuwa honeymoon na binamu salam binamu hajaletaNmemuona aisee,,aliyemteka sijui nani huyo
Hahaha natamani nikuchokoze ebu ninyamaze tu
HahahhhaWe ABJ Uko siku zote humu JF?
Sijawahi kukutia mimi...
I mean sijawahi kukutia machoni. Siyo kukutia ile kivingine.
Joto ya jiwe tena inakuwaje hapoWala,amesema atanipa joto ya jiwe ndiyo nionje!
Hahahhahahaha mjomba wa watu bwanaHahahaha, wewe ruksa kunichokoza ila mm sitokuchokoza
We ABJ Uko siku zote humu JF?
Sijawahi kukutia mimi...
I mean sijawahi kukutia machoni. Siyo kukutia ile kivingine.
aisee nimeshuka hilo neno hapo,nipoo Nyani Ngabu jamani
Hahahhha
Aise,kumbeNimekutana nae uko chitchat akaniambia alikuwa honeymoon na binamu salam binamu hajaleta
Nilikuwa honeymoon jirani...Aisee!!
Ulipotea sana jirani
Mimi mzima kabsa,,vp wewe?za uzima
Nilikumiss pia,nmefurahi kukuona na karbu tena jiran.
Joto ya jiwe maana yake nitaishia tu kula kwa macho!Joto ya jiwe tena inakuwaje hapo
Hahahaa kumbe ushajijibuWewe ni Ke au Me? Mi nahisi utakuwa ni Ke....
Hongera sana jiraniNilikuwa honeymoon jirani...
Nzuri tuu twamshukuru Mungu maisha yanasonga,asante sana jirani




