Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,150
- 137,132
Hahahaha, asee OK
Halafu we Mtu Chake....mbona Shualina anakanusha kuwa unamkula lakini wewe hukanushi?
Hahahaha, asee OK
Mi mwenyewe nimeyajulia hapa.
Nilikuwa sijui kama wewe ndo unamkula Shualina![]()
HahahahahaAlaaaa! Kuuumbe!
Haya basi sawa
Ila mbona kasema alikuwa anakutengenezea breakfast....
Hahahahaha
Kwahiyo ukiona hivyo unaona tunakulana simjui anafananaje hanijui nafananaje
Ana bebez wake huyo waone vile wajue ananikula nianzishiwe thread siku hizi nimeamua kuwa binti mpole tu
HahhahahHeheheee akukule tu maana hakuna namna....
Kwahiyo unaaminije etiHalafu we Mtu Chake....mbona Shualina anakanusha kuwa unamkula lakini wewe hukanushi?
Hahahahaha
Kwahiyo ukiona hivyo unaona tunakulana simjui anafananaje hanijui nafananaje
Ana bebez wake huyo waone vile wajue ananikula nianzishiwe thread siku hizi nimeamua kuwa binti mpole tu
Mm sitaki tena jamaniHahahaha, asee ,basi yaishe ,tusimuudhi shangazi wa watu
Tumsifu Yesu Kristo ...
Kristo.....
Nipo mmHivi nani amekuficha?
Nipo mm
Nimekumiss pia babe najua bwana harusi aliyejeruhiwa ndio alikuficha sasa umeshammaliza tutakuwa wote hapaMakapuku Nawasalimia.alafu nawamiss![]()
Halafu we Mtu Chake....mbona Shualina anakanusha kuwa unamkula lakini wewe hukanushi?
HahahhahaHaya Shualina.....usijali.
Mi natania tu bana, maana kweli usije anzishiwa thread bure kisa utani wa Ngabu halafu hali ya hewa ikachafuka.
Jumapili njema.
Nipo sana tu kotekoteSikuoni kokote. Hata status sikuoni nikajua ndugu yangu wamemteka.
Kwahiyo unaaminije eti
HaahhahahahahHahahaha, mie nafurahi tu ,akikanusha yy ni sahihi zaidi Mkuu
Hivi wapi nimesema nakula MTU?
Nimekumiss pia babe najua bwana harusi aliyejeruhiwa ndio alikuficha sasa umeshammaliza tutakuwa wote hapa


aisee nimekua sioni wala siskii notification kisa Mr Faraji.