Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
... tena picha iko kwenye furemu kabisa, fremu kubwa ukiiangalia ukachukia inakuangukia unakufa
unakufa binamu... tena picha iko kwenye furemu kabisa, fremu kubwa ukiiangalia ukachukia inakuangukia unakufa
unakufa binamu![]()
na ukinitazama ukagundua nimekufa,nawe unaanguka unakufa tunapaa angani
kweli we kiboko ya binamu...jamani, mate si ya bure!? Sasa unashindwa nini kujilipia nauli, ?
Au vipi ngoja niangalie ratiba ya mbio za Mwenge tuone kama unaweza kupata lifti ya bure

Ooho! Wivu sina ila roho inaumaMida ya kumbatio hii![]()
![]()
Hivi mpaka ufukue makaburi yote utatufikia kweli tulipo
sitaki kupitwa
Huyo ubahili wake utamponza![]()
![]()
![]()
![]()
muda si mrefu naona unavyoporwa
Mbea ww![]()
![]()
![]()
![]()
sitaki kupitwa
Subili jamaniUone nini tena
Popote anapopenda
Atamnyonya wapiii woiiiii mecheka kwa sauti mm
Hii salam yako naipenda sana binamu tatizo ni ya weekend tu!!Hi![]()
![]()
![]()
binamu yngu
![]()
![]()
![]()
Unajua vyenye nakupenda
Ameshakwama Binam ametafuniwa,kashindwa kumeza
nikisema atasema me mbaya wake ngoja ninyamazeKwenye kutoa hela hujui alivombahili binamu ykoKwenye kukojoa eenh