Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
.....wewe omba zawadi yoyote, nakupa yaani hata mate ya bureeeee nakupa , si nimeuza korosho jeshini

.....wewe omba zawadi yoyote, nakupa yaani hata mate ya bureeeee nakupa , si nimeuza korosho jeshini

Usiogope ni kojoooooHili kojo unalolitolea taarifa lanitisha ujue
Ameshakwama Binam ametafuniwa,kashindwa kumeza
Alikua mshika mike![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
binamu obe atakuwa kiti cha mbele huko
Tutasafiri pamoja andaa offer hiyoBinamu anakunywaga safari
Ndo ameshafeli tena.
Atamnyonya wapiii woiiiii mecheka kwa sauti mm
Chakula cha uzima kwani we unapenda kipi?Mkuu chakula gani hiko
Binam amekwama wapi kwani??Vipiii jamani kilio tena
Haha la Kuchimba kishimo au la kusambaaUsiogope ni kojooooo
Kafeli na mm nakaziaAmeshakwama Binam ametafuniwa,kashindwa kumeza
HahhahahhahahAlikua mshika mike
Hahahhaha umenishinda khaaaTutasafiri pamoja andaa offer hiyo
Chakula cha uzima ni cha bwana Yesu pekeeChakula cha uzima kwani we unapenda kipi?
Kwenye kukojoa eenhBinam amekwama wapi kwani??
Hahhahha la kusambaaHaha la Kuchimba kishimo au la kusambaa
Ohoo,!Hahahhaha umenishinda khaaa
Hiiiiiiiii. ......!(kwa sauti ya kolomije)Hahhahha la kusambaa