Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Hiiiiiiiii. ......!(kwa sauti ya kolomije)
Majirani tukae mbali kojo lasambaratishwa

Hiiiiiiiii. ......!(kwa sauti ya kolomije)
Majirani tukae mbali kojo lasambaratishwa

ShikamoooHmm!!![]()
Zamu yangu ya ulinzi wa jukwaa imekwisha,
Mlale ss kesho muwahi misa ya kwanza
Kaka ningendako unaitwaEbu nitafutie kaka ako jamani nimemmiss mm baba wawili wa kudownload
Mbona mapema hvoZamu yangu ya ulinzi wa jukwaa imekwisha,
Mlale ss kesho muwahi misa ya kwanza
Kila la kheri mumie kukumbatiwa kwemaMida ya kumbatio hii![]()
![]()
Sijui nani kamteka leoKaka ningendako unaitwa
Ameshakwama Binam ametafuniwa,kashindwa kumeza
Basi apambane tu na hali yakeKwenye kutoa hela hujui alivombahili binamu yko
Mwache akomeHuyo ubahili wake utamponza
Ndiwooo utaipata wkendHii salam yako naipenda sana binamu tatizo ni ya weekend tu!!
Kwaiyo hicho haushiriki?Chakula cha uzima ni cha bwana Yesu pekee
Nimechoka kusubir au kuna kitu unataka kunipaSubili jamani
Marahabaaa! Hujambo bintiShikamooo
Asante binamu yanguKuelekea Jumapili nakuburudisha kwa muziki mzuri kwa sababu wewe ni mtu mzuri unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Mapumziko mema na maandalizi mema kwa mnaoabudu