Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Cha kwako siwezi shiriki mmKwaiyo hicho haushiriki?
Cha kwako siwezi shiriki mmKwaiyo hicho haushiriki?
KhaaaNimechoka kusubir au kuna kitu unataka kunipa
Hmm! Haiwezekani kabisaa,, huu ni unyanyasajiKhaaa
Sina cha kukupa mm

Asante binamu yangu
Hahahha...asante kushukuru na zaidi asante kwako, nimesoma magazeti na Je Wajua, nimefurahi. MF ni sehemu nzuri kwa sababu wewe upo.
Sichoki kukupa zawadi ya asante siwezi kuwa bahili hata wa asante na kwa maana hiyo endelea kunitetea sana kwa marybaby
Sina mm bwana cha kukupaHmm! Haiwezekani kabisaa,, huu ni unyanyasaji![]()
Hahahha
Kwa kukutetea binamu siwezi mm
SijambooMarahabaaa! Hujambo binti
Cha kwako siwezi shiriki mm
Umefurahi eh
Karibu,chat na yeyoteKila siku nakatiza humu hata sibahatiki wa kuchati nae