Makapuku Forum

Makapuku Forum

....yaani asikonde, atapata hela hadi ashone dela la kitenge, asubiri tu hela nilipwe ya korosho na ile ya Mo alipotekwa nitapewa, hujaniona kwenye magazeti?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nipo stendi nangoja nauli,kumbe hela zipo kusikojulikana
 
... tena picha iko kwenye furemu kabisa [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7], fremu kubwa ukiiangalia ukachukia inakuangukia unakufa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom