marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Nakuona..Npo mumie
Mambo.!
Nakuona..Npo mumie
NakojoaaaaaaaKojoa kistaarabu udongo tifutifu huu mkojo utachimba kishimo watoto wajikwae watoke meno
Hivi mpaka ufukue makaburi yote utatufikia kweli tulipoAsante
Huwezi elewa kaangalie nyingine ztakuwa alznaeleweka zpo mbele hukoSijaelewa kabisa huu uzi
Shaka ondoa
Binam amefeliHahhahahhahah
Huku tunaendelea kukagua magari ya jeshi yatakayobeba zao la kusini mubashara kbs![]()
![]()
binamu obe atakuwa kiti cha mbele huko
Usikonde aunt yangu wa ukweli, sasa korosho tunazibeba na magari ya delaya, ntakupitishia kwako.
Sasa ukae nje kabisa maana sitaki nishuke majirani zako waniteke, si unajua nimeuza korosho
heshima yako binamu
Binamu anakunywaga safari![]()
binamu yako
Hili kojo unalolitolea taarifa lanitisha ujueNakojoaaaaaaa
Utanilipia eeeeh.....nakupenda binamu kwa hii salamu ya wikend, sio mtu jmosi katoka kula makange unasikia Shikamooo OBE.
Nimeuza korosho, sasa kunywa chochote utakacho






Vipiii jamani kilio tena