The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,150
Manchester City watahitji kuvunja rekodi yao ya kusaini wachezaji kumsaini kiungo wa kati wa Lyon Tanguy Ndombele baada ya klabu hiyo ya ufaransa kumwekea thamani ya pauni milion 70 mchezaji huyo wa miaka 21 mwezi Januari. (Star)