Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Yeah wao wana sheria tofauti na zetu.Ishu hapo siyo wakili bali aina ya sheria /hukumu
Kwa Bongo kosa la mauaji ni kifungo cha maisha(life imprisonment) na kuua bila kukusudia adhabu inaweza kuwa miaka miwili na kuendelea
Nchi zinatofautiana sheria hivyo Tz ukipatikana na hatia ya mauaji(murdsr) hata utetewe na Kibatala adhabu ni hiyohiyo

