The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,150
Uhamiaji Wa Dodoma uharakishweJiji la Dar es Salaam linatajwa na wanasayansi kuwa, huenda likazama katika miaka 50 ijayo kutokana na kutokuwa na miinuko na kuwa karibu sana na bahari.
Tayari Tanzania imeshapoteza visiwa viwili, kimoja wilayani Pangani, Tanga na kingine Fungu la Nyani, wilayani Rufiji.View attachment 889143



