Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Nisaidieni wadau nimesahau jinsi ya ku upload Miziki humu 
...natumia simu nyingine.

...natumia simu nyingine.
...natumia simu nyingine.Karibu sana jisikie uko nyumbani,nyakunyaku hawapo humuNdio na nimerudi kwa Vishindo, michepuko ikae kando muda wa kujiachia umeisha, main chick nimerudi sasa kwa nyumba...![]()
Huyo aliyemteka ndo namtaka tupambane....watu na mali zetu bhanaa![]()

Wapo dear ...utawaonaaMissing uu sanaaa, hivi Muhenga Shululu yupo? Na Jimenna
@obeNisaidieni wadau nimesahau jinsi ya ku upload Miziki humu...natumia simu nyingine.
Wacha aje anielekeze...mi nishafeli au sijui ndo mashikoro hizi simu zingine sio type zetu@obe


....kwani unatumia simu gani, maana JF wamebadili baadhi ya vituWacha aje anielekeze...mi nishafeli au sijui ndo mashikoro hizi simu zingine sio type zetu![]()
Tangu lini akaachiwa jmos ?
Ngapi ngapi kwaniTimu ya aunt yangu Shunie naena imefanya mambo 🤼♀️️
Natumia simu ingine Samsung galaxy S8, mwanzo nilikuwa natumia samsung core prime ilikuwa na copy tu Link then nakuja ku paste Jf, sahv nikijaribu naona mapicha picha tu....kwani unatumia simu gani, maana JF wamebadili baadhi ya vitu
Ukitaka urahisi copy link ya muziki then hapa unapoandika

Baadae ukitoka kanisaniNitumie ofa yngu mtu chake
Shululu hayumo na MimiMoyo wangu unafarijika.....
Salute kwa founder members wote
President Bitoz (BishopTembo)
Vice Pr. Jimena
Prime minister Th name
Nahrene
Cute B
Ibra 87
EMMYGUY




Amen