Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ngoja sasa nikwambie ukitaka nilewe sana yaan sana ni heineken 8 hiviii nikilewa wastani heineken 4 au 5

Nilikunywa heineken 9 jamani ndio beer nyingi nilizokunywa toka nianze kulewa yaan sitaisahau hiyo siku nilirudi nyumbani alfajiri
Ukiweza kunywa heineken 20 Karibu kwenye Faru John..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom