Nilikuwa nahitaji passport ya kusafiri. Ili angalau na mimi nivuke boda. Asante kwa mwelekeo ulionipa mkuu1. Nikijiaminisha unamaanisha hii hati ya kusafiria, basi gharama imepandishwa toka 50k hadi inasoma 150k
Hapo bado gharama za fomu ambazo ni kama 20k.
Tembelea web ya Uhamiaji wameifanya iwe poa sana
2. Kama unamaanisha hizi passport size bei yake ni tofauti tegemeana na studio. Hapa Mtwara unatoa 1k unapewa passport 6 kwa mpigo bahati mbaya hawakupi negative.
1. Nikijiaminisha unamaanisha hii hati ya kusafiria, basi gharama imepandishwa toka 50k hadi inasoma 150k
Hapo bado gharama za fomu ambazo ni kama 20k.
Tembelea web ya Uhamiaji wameifanya iwe poa sana
2. Kama unamaanisha hizi passport size bei yake ni tofauti tegemeana na studio. Hapa Mtwara unatoa 1k unapewa passport 6 kwa mpigo bahati mbaya hawakupi negative.
na mm nataka passpot binamuPoa vp bibie
Eddy mambo vpSalama navero siju umeamkaje
E&K
TUOMBE:
Baba Asante kutuamsha salama siku ya leo tukiwa wazima .
Tunaomba Toba tusamehe..Tunajikabidhi mikononi mwako endelea kutupigania Mfalme wa Amani.Tuponye,Tubariki,Tuhuishe.
Tunajikabidhi sisi na kila tunalopitia Baba mikononi mwako..wafariji wafiwa wote wape mahitaji na tumaini wajane,wagane ,yatima watie nguvu waliipondeka mioyo.
Damu Takatifu ya Yesu Kristo inene mema makazini,safarini,katika masomo,kwa watoto na wahitaji wote wakutafute wewe .
Hesabu hatua zetu Roho Mtakatifu kaa nasi.Ni katika jina la Yesu Kristo naomba na kuamini Amen
JUMATANO NJEMA NA EID NJEMA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE![]()

Shikamoo mkuuEndelea na kuwaogopa mapugi jf watakutia mpaka vidole vya huko simu yako bundle lako na uwaogope madudu humu
Una vuruguuHauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimoto hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
View attachment 843697
Umeona eeeehhh!!!!!Endelea na kuwaogopa mapugi jf watakutia mpaka vidole vya huko simu yako bundle lako na uwaogope madudu humu
Acha aendelee kuwogopa tu na mapugi wanajua demiss ndio mnyonge wao anawaogopa naanzaje kumuogopa mtu humu jf nijikute tu mfyuuuuu


















Asante sana aunt yangu Shunie kwa magazeti, nimeyasoma mapema leo nikijiandaa kwenda kupiga mpunga mahali.
Anko wangu ni mgombea yaani hadi ananichanganya, inabidi ukae naye chini umsaidie na tiba yake ni wewe. Tumejaribu kumpelekwa kwa waganga imeshindikana, jameni!
Tumosa kama unataka passport hakikisha unavaa viatu vizuri ili picha itoke poa.
Shikamoo mkuu