Makapuku Forum

Makapuku Forum

Miongoni mwa watu mashuhuri wanaotumia au waliotumia mkono wa kushoto:

Rais wa zamani wa Marekani Barack ObamaRais wa Kenya Uhuru KenyattaWaziri Mkuu wa Israel Benjamin NetanyahuMwanamfalme William wa UingerezaMsanii Angelina JolieMwanasayansi Albert EinsteinMwigizaji Tom CruiseMwanamuziki David BowieMwanariadha Paula RadcliffeMwanakandanda PeleMwanaanga za juu Neil ArmstrongMwanasayansi Marie CurieBondia Manny PacquiaoMwanaviwanda Henry FordMwanamuziki Justin BieberMwanamuziki Lady GagaMwanamuziki Marshall Bruce Mathers III maarufu kama EminemMwanamuziki Paul McCartneyMwigizaji Jennifer LawrenceMwanafalsafa AristotleMvumbuzi na mchoraji Leonardo Da Vinci
View attachment 834662View attachment 834663
Asante mama D wa watu.
 
TUOMBE:

ASANTE BABA kwa siku ya leo tunaomba Toba kwa yote ambayo tumeendca kinyume na mapenzi yako uturehemu twakusihi.huruma yako iwe juu yetu.

Siku ya Leo Tunaomba Tuongoze,Tusimamie,
Tubariki,Tuponye na utupe Muda wa kukutafuta kwa bidii na kutafakari matendo yako makuu kwetu.Roho Mtakatifu kaa nasi Tufundishe,Tukumbatie Mfalme wa Amani.

Tunaomba yote kwa jina la Yesu Kristo Ameen

SIKU NJEMA YA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTU ITUFUNIKE
 
Amka na magazeti binamu Obe sitaki lawama zako nimekutag

Screenshot_20180814-062207.jpeg
Screenshot_20180814-062227.jpeg
Screenshot_20180814-062129.jpeg
Screenshot_20180814-062148.jpeg
Screenshot_20180814-062054.jpeg
Screenshot_20180814-062110.jpeg
Screenshot_20180814-062018.jpeg
Screenshot_20180814-062039.jpeg
Screenshot_20180814-061959.jpeg
Screenshot_20180814-061917.jpeg
Screenshot_20180814-061938.jpeg
Screenshot_20180814-061854.jpeg
 
Muziki: Kidogo Kingi

...tunatofautiana tunavyoangalia mambo au masuala, wengine hata wikend unakuta wanakuwa serious kama Jumatatu, hawapendi kuchukulia baadhi ya mambo kwa urahisi (taking it easy) na hata salamu inakuwa ngumu lakii kwangu mimi kama mnavyonijua lazima nikusalimie bila kujali una khali gani. Kikubwa kwangu kinaweza kuwa kidogo kwako na ndiyo maana sichoki kukusalimia wewe Kapuku unayelifanya Jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.

Asante sana Shunie kwa mabandiko yako mazuri, najua hujaweza kupata simu nzuri ili uwe unanitag (niko kwenye mchakato na mama yenu ninunue simu moja kubwa iwe inatumiwa na kila mtu, subirini maswali yaje nikiileta). Nimefurahi kukuona hapa ningendako asante kwa kuwa active leo, Slim5 umeshatoka Chalinze, mtu chake khabari za DRC, ABJ za kupotea, moneytalk umepotea, Andunje Jiniazi 😎, Herymiller kutaja wachache.

Muziki sasa, tujikumbushe zamani kidogo maana Jumatatu inahitajigi nguvu ya ziada kuimaliza

Nilianza safari ya kurudi! Kufika pale CHAMAKWEZA nikapata puncture tairi ya mbele ya baiskeli yangu..... Now ndio naingia Kibaha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom