Watakuja madr.slim wakujibuHivi humu Makapuku hamna Ma Dr wale wa Binadamu? Nataka TU kujua kama Mawazo yanachangia kupata vidonda vya tumbo! Vipi kuhusu ndoto? Ndoto zetu hazitusababishii ulcers? Mimi Ktk hobby zangu, ndoto ni No. 1

NawasubiriaWatakuja madr.slim wakujibu![]()
![]()
![]()
Picha ya chakula?![]()
![]()
![]()
shukrani kwa ukarimu slim5 hebu tuwekee kapicha basi ka unachokula
![]()
![]()
![]()
Mamsap kankataza. Kasema sio vizuri kuwapa watu majaribu. Kuna ambao usiku wamelalia Maji tu![]()
![]()
![]()
shukrani kwa ukarimu slim5 hebu tuwekee kapicha basi ka unachokula
![]()
![]()
![]()
Mkuu mambo vpMweeee
NdiwooooooPicha ya chakula?
Pouwa ninge za wwMkuu mambo vp
Safi kabsa,, sorry bhna,, bhasi na ww nlijua Wa daslamu,,, maana shunie anatuita wamkoaniPouwa ninge za ww
Safi kabsa,, sorry bhna,, bhasi na ww nlijua Wa daslamu,,, maana shunie anatuita wamkoani
achana nae yule
UmechapiaaKapuku ambaye hajanywa chai aniPM nipo hapa Serena Hotel nasubiri Uver ya helkopta
Niajee wewe jamaa
Na kwako piaaAsubuhi njema wapendwa
Labda mavu*Makapuku naomba kujua, NYUMBA ya mfugarasta kuna haja ya kuwa na Chanuo?