Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi humu Makapuku hamna Ma Dr wale wa Binadamu? Nataka TU kujua kama Mawazo yanachangia kupata vidonda vya tumbo! Vipi kuhusu ndoto? Ndoto zetu hazitusababishii ulcers? Mimi Ktk hobby zangu, ndoto ni No. 1
Watakuja madr.slim wakujibu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] shukrani kwa ukarimu slim5 hebu tuwekee kapicha basi ka unachokula[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mamsap kankataza. Kasema sio vizuri kuwapa watu majaribu. Kuna ambao usiku wamelalia Maji tu
 
Back
Top Bottom