Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Kidogo Kingi

...tunatofautiana tunavyoangalia mambo au masuala, wengine hata wikend unakuta wanakuwa serious kama Jumatatu, hawapendi kuchukulia baadhi ya mambo kwa urahisi (taking it easy) na hata salamu inakuwa ngumu lakii kwangu mimi kama mnavyonijua lazima nikusalimie bila kujali una khali gani. Kikubwa kwangu kinaweza kuwa kidogo kwako na ndiyo maana sichoki kukusalimia wewe Kapuku unayelifanya Jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.

Asante sana Shunie kwa mabandiko yako mazuri, najua hujaweza kupata simu nzuri ili uwe unanitag (niko kwenye mchakato na mama yenu ninunue simu moja kubwa iwe inatumiwa na kila mtu, subirini maswali yaje nikiileta). Nimefurahi kukuona hapa ningendako asante kwa kuwa active leo, Slim5 umeshatoka Chalinze, mtu chake khabari za DRC, ABJ za kupotea, moneytalk umepotea, Andunje Jiniazi 😎, Herymiller kutaja wachache.

Muziki sasa, tujikumbushe zamani kidogo maana Jumatatu inahitajigi nguvu ya ziada kuimaliza

 
Binamu yangu shikamoo jamani naomba wimbo yeba wa kiss daniel
Habari Makapuku, mimi sijambo. Najua mlikuwa (baadhi yenu) na wikend nzuri na wengi wenu wikend ilikuwa kama ya jana na juzi.

Kuna jipya?
 
Muziki: Kidogo Kingi

...tunatofautiana tunavyoangalia mambo au masuala, wengine hata wikend unakuta wanakuwa serious kama Jumatatu, hawapendi kuchukulia baadhi ya mambo kwa urahisi (taking it easy) na hata salamu inakuwa ngumu lakii kwangu mimi kama mnavyonijua lazima nikusalimie bila kujali una khali gani. Kikubwa kwangu kinaweza kuwa kidogo kwako na ndiyo maana sichoki kukusalimia wewe Kapuku unayelifanya Jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.

Asante sana Shunie kwa mabandiko yako mazuri, najua hujaweza kupata simu nzuri ili uwe unanitag (niko kwenye mchakato na mama yenu ninunue simu moja kubwa iwe inatumiwa na kila mtu, subirini maswali yaje nikiileta). Nimefurahi kukuona hapa ningendako asante kwa kuwa active leo, Slim5 umeshatoka Chalinze, mtu chake khabari za DRC, ABJ za kupotea, moneytalk umepotea, Andunje Jiniazi 😎, Herymiller kutaja wachache.

Muziki sasa, tujikumbushe zamani kidogo maana Jumatatu inahitajigi nguvu ya ziada kuimaliza

Hahaha wewe jamaa bhana,, shukran pia
 
Muziki: Kidogo Kingi

...tunatofautiana tunavyoangalia mambo au masuala, wengine hata wikend unakuta wanakuwa serious kama Jumatatu, hawapendi kuchukulia baadhi ya mambo kwa urahisi (taking it easy) na hata salamu inakuwa ngumu lakii kwangu mimi kama mnavyonijua lazima nikusalimie bila kujali una khali gani. Kikubwa kwangu kinaweza kuwa kidogo kwako na ndiyo maana sichoki kukusalimia wewe Kapuku unayelifanya Jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.

Asante sana Shunie kwa mabandiko yako mazuri, najua hujaweza kupata simu nzuri ili uwe unanitag (niko kwenye mchakato na mama yenu ninunue simu moja kubwa iwe inatumiwa na kila mtu, subirini maswali yaje nikiileta). Nimefurahi kukuona hapa ningendako asante kwa kuwa active leo, Slim5 umeshatoka Chalinze, mtu chake khabari za DRC, ABJ za kupotea, moneytalk umepotea, Andunje Jiniazi 😎, Herymiller kutaja wachache.

Muziki sasa, tujikumbushe zamani kidogo maana Jumatatu inahitajigi nguvu ya ziada kuimaliza

Pekecha pekecha woyoooooo binamu umenikumbusha enzi za akudo impact wazee wa masauti ukianza kupekecha unapekecha mpaka chiniiiiii

Kwahiyo binamu unataka niwe nakutag eenh kila nikiweka post eenh
 
Pekecha pekecha woyoooooo binamu umenikumbusha enzi za akudo impact wazee wa masauti ukianza kupekecha unapekecha mpaka chiniiiiii

Kwahiyo binamu unataka niwe nakutag eenh kila nikiweka post eenh

...utakuwa umetenda sana haki, leo nimesoma kuhusu Freemason wanawake na nimejiongezea maarifa.
FYI, pale soko la Mikocheni B, jirani na shule ya Msingi Ushindi kama unaelekea maghorofa ya Bima kuna zahanati imejengwa kwa msaada wa Freemason, ina vifaa vya kisasa balaa utasema umeingia Aghakhan
 
...utakuwa umetenda sana haki, leo nimesoma kuhusu Freemason wanawake na nimejiongezea maarifa.
FYI, pale soko la Mikocheni B, jirani na shule ya Msingi Ushindi kama unaelekea maghorofa ya Bima kuna zahanati imejengwa kwa msaada wa Freemason, ina vifaa vya kisasa balaa utasema umeingia Aghakhan
Eeenh hiyo hospital kiboko binamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom