Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii moto hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
tapatalk_1534529665683.gif
 
Halafu namuonaga mjanja kumbe muoga ana watu anawaogopa humu jf kama Mungu


......anaweza asiwe muoga ila mchamungu sasa akikutana na watu wa mataifa inabidi asichangamane nao. Anawakalisha nyuma
 
Asante sana aunt yangu Shunie kwa magazeti, nimeyasoma mapema leo nikijiandaa kwenda kupiga mpunga mahali.

Anko wangu ni mgombea yaani hadi ananichanganya, inabidi ukae naye chini umsaidie na tiba yake ni wewe. Tumejaribu kumpelekwa kwa waganga imeshindikana, jameni!

Tumosa kama unataka passport hakikisha unavaa viatu vizuri ili picha itoke poa.
Kwenye Hyo passpot itatoka na miguu binamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom