Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Nataka nijiongeze mwenyewe, Yaani kibla ntaangalia mwenyewe! Coz nywele za laki3 sio lazima useme, zinaonekana kwa macho!Ya nini nifake jaman na kila kitu kinajulikana mwanamke mzuri anahitaji matunzo me navaa nywele ya laki 3 Brazilian hiyo nywele tu sasa unataka kunikula bureee
nimecheka sana kwani na wewe unaishi iringa anaendeleaje kwa sasa ndio mana huwa nakupenda una vituko sana halaf huwa nakufatilia sana kuna ile I'd yako nyingine ileee nabaki nayo moyoni unaijua unatukanaga
![]()
Zile ndude mama atavaaje na unene ule jamaan![]()
binamu amtake radhi mama angu hivi zinapitia wapi pale
cjui wapika chapati ndo wanajuaHapo good usiifute appSiwezi kata tamaa nikiwa na mtu karibu nitajua tu halaf app ninayo nitakuja kukupa mrejesho
Nataka nijiongeze mwenyewe, Yaani kibla ntaangalia mwenyewe! Coz nywele za laki3 sio lazima useme, zinaonekana kwa macho!
Mi yale mambo unakuja na Bajaj ya 1500 lkn Unataka nikupe Lita 100 za Prado siyawezi!





yaan wewe
Hahahahaha,
Nakumbuka nimetua Iringa 2014-15 kwenye mikakati ya Uchaguzi nilitafutwa sana na Makada.
Nilipelekwa sana mahotelini kula Lunch na kuhongwa mapesaaa, nasubiria tena 2019 na 2020.
Hivi kipindi kile nakuja hapa usiku sana ulitegemea nilikuwa nakuwa wapi sasa ???
Juzi kati hapa nimeenda Bombo Kumcheki dogolasi eti wamemseti naye agombee Ubunge, nikamsikiliza tu!
Nilivyorudi home nilificha hati zote za nyumba na mashamba ya Bibi maana naona Betting hii inamliza Bibi hapa hapa!
Halafu ID gani hiyo ?? Ninong'oneze basi........
Teh teh teh teh 😀😀😀😀






I'd ile uni niniiii sijui


nilikukuta sehemu na espy
...ndo zitakaaa vizuri zaidi, akiwa mwembamba si zitajikuta zinapilizia kwenye nyayo. Kazi ya kuwa anazipandisha nani anataka kila wakati




Ahahha![]()
![]()
cjui wapika chapati ndo wanajua
Siifuti kabisaHapo good usiifute app
I'd ile uni niniiii sijui
nilikukuta sehemu na espy
Nimekuwaje? Naomba usinigawe!yaan wewe
Me najua ni wewe huwa nabaki kushangaa vurugu na matusi na uchokozi aisee naiogopa ile I'd huwa naomba Mungu isiniquote jamanHahahaha!
That's my baby brother!
Vurugu vurugu zile na mimi wapi na wapi tena ???
Nakugawa kwa jirani yakoNimekuwaje? Naomba usinigawe!
Me najua ni wewe huwa nabaki kushangaa vurugu na matusi na uchokozi aisee naiogopa ile I'd huwa naomba Mungu isiniquote jaman
Kwa nini ana vurugu sana kila nikimuona anaharibu tuHahahaha, yule mikwara mingi sana.
He's very soft inside...ukimwona utacheka hadi ulie!
Kwa nini ana vurugu sana kila nikimuona anaharibu tu
Hahahahahah ngoja nichekeee kwanzaaaNimejiregister mbet nimeachana na ile sportpesa