Enheee huyo huyo, alidhani atabeti kama kwenye mpira!
Alibeti nyumba za mama kwa hela za Waarabu! teh teh teh teh teh!
Daaah BAVICHA hawana adabu Walikula naye raha halafu wakampigia kura Msigwa!
Gwahahaahahahaha, sasa jamaa kachanganyikiwa akaanza kuwavizia Usiku kwenye vibanda vya kitimoto......
Akiona anakukumbuka kama ulikuwepo kwenye kampeni yake utagongwa mikanda ya polisi hadi kichwani,
Ukumbuke hapo ana hasira za kupigwa vitasa na Wajeda baada ya kugoma kusaini kushindwaaaa.........
Tangia siku ile sitaki tena kusikia Betting.........😀😀😀😀😀😀