Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu nifundishe kwanza nikiweza nikishinda za kubet nitakulipa hela yako


h ahahahahaha, usikonde aunt, nitakufundisha kubet, lakini kwanza inabidi ukusanye wenzako kama kumi hivi mjiunge kama kikundi mtafute hoteli nzuri ambayo nitafikia hapo dar, nije niwafundishe kubet. Wakaribishe wote waliokosa fursa ya forex, betting wasiiachie
 
h ahahahahaha, usikonde aunt, nitakufundisha kubet, lakini kwanza inabidi ukusanye wenzako kama kumi hivi mjiunge kama kikundi mtafute hoteli nzuri ambayo nitafikia hapo dar, nije niwafundishe kubet. Wakaribishe wote waliokosa fursa ya forex, betting wasiiachie
Mmh na hiyo hotel nani atailipia binamu
 
mwakalebela wa tff jaman alifanya hivyo

Enheee huyo huyo, alidhani atabeti kama kwenye mpira!
Alibeti nyumba za mama kwa hela za Waarabu! teh teh teh teh teh!
Daaah BAVICHA hawana adabu Walikula naye raha halafu wakampigia kura Msigwa!
Gwahahaahahahaha, sasa jamaa kachanganyikiwa akaanza kuwavizia Usiku kwenye vibanda vya kitimoto......

Akiona anakukumbuka kama ulikuwepo kwenye kampeni yake utagongwa mikanda ya polisi hadi kichwani,
Ukumbuke hapo ana hasira za kupigwa vitasa na Wajeda baada ya kugoma kusaini kushindwaaaa.........
Tangia siku ile sitaki tena kusikia Betting.........😀😀😀😀😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom