Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Umeonaaaa kwahiyo hisia zangu ni kweli jamaaanHahahaha, ana maksudi sana yule!
Kuna ID akija nayo hapa huwa anakuwaga mpole huyoo!
Umeonaaaa kwahiyo hisia zangu ni kweli jamaaanHahahaha, ana maksudi sana yule!
Kuna ID akija nayo hapa huwa anakuwaga mpole huyoo!
Ninii jamaan nyie ndio wasababishi mpaka sijaelewa darasaHahahahahah ngoja nichekeee kwanzaaa
Vipiiiiiiii
Hivi kweliii umeamua kabisaa kuanza kubet ??,Ninii jamaan nyie ndio wasababishi mpaka sijaelewa darasa
Siaminiii kama umeamua siliasiii kujitosaa kwenye betingVipiiiiiiii
Nimeamua ndio kila nikipita kwenye betting nawaona wadada wanapata mahela tuu na mm nataka nijue ndio hivyo kichwa chenyewe kizito ila nitajua tuHivi kweliii umeamua kabisaa kuanza kubet ??,
Hili ajabu la 9 kwanguuu
Umefurahiiiii
Amini tu mbona we unabet kwa nini mimiSiaminiii kama umeamua siliasiii kujitosaa kwenye beting
Nimeamua ndio kila nikipita kwenye betting nawaona wadada wanapata mahela tuu na mm nataka nijue ndio hivyo kichwa chenyewe kizito ila nitajua tu
ila leo nimechekaa sana na kushangaaa
Nashangaaaa kabisaaaUmefurahiiiii
Wewe cheka tu nakuambia,
Next stop ntakukuta Casino unacheza Poker na wakina Mzee Kusaga!
Halafu umebet nyumba yenu......teh teh teh
kazii hipooo
Kwani kubet ni vyuma kukaza![]()
![]()
![]()
![]()
ila leo nimechekaa sana na kushangaaa
Na navojuaa vyuma kwako haviwezi kukazaa umeamua tu


sasa mbona kwangu hakuna dalili ya vyuma kukaza nataka tu nicheze tu kama biko
Sijawahiii na kwanza sijui jinsi ya kubetAmini tu mbona we unabet kwa nini mimi
Aiseee vyuma kwangu havijakazaMzee alegezeee aiseeeeh![]()
![]()
![]()
![]()
Mzee alegezeee aiseeeeh![]()
![]()
![]()
![]()