Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nipo hapa
Angalia
d92d69ba1a9135f514335d51002891d2.jpg
 
Nipo kwenye multiple bet
kwenye multiple bet chagua zile timu nilizokupa kama nimeiwekea win or draw clic kuna kialama cheusi juu ya mechi nenda kwenye double chance kuna sehemu imeandikwa 1x unabonyeza kama nimekuandikia 1 bonyeza 1 kwenye normal ukimaliza nenda kuna sehemu ya kuweka pesa alfu finishi ukimaliza kuna sehemu itakuandika pay via wallet or m-pesa utabonyeza kama ni walet au m-pesa au tigo alfu utabonyeza kwenye pay ticket utaletewa namba flan juu ya mkeka hizo ndizo za muhimu ukiwa unalipia
 
kwenye multiple bet chagua zile timu nilizokupa kama nimeiwekea win or draw clic kuna kialama cheusi juu ya mechi nenda kwenye double chance kuna sehemu imeandikwa 1x unabonyeza kama nimekuandikia 1 bonyeza 1 kwenye normal ukimaliza nenda kuna sehemu ya kuweka pesa alfu finishi ukimaliza kuna sehemu itakuandika pay via wallet or m-pesa utabonyeza kama ni walet au m-pesa au tigo alfu utabonyeza kwenye pay ticket utaletewa namba flan juu ya mkeka hizo ndizo za muhimu ukiwa unalipia
Jaman mbona kialama cheusi sikioni mm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom