Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ushakulaa ngapiii
Nakulaje sijajua bado kucheza jana nafundishwa hapa watu wanaingilia kati kunicheka naelewaje sasa yaan sijui chochote
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Nakulaje sijajua bado kucheza jana nafundishwa hapa watu wanaingilia kati kunicheka naelewaje sasa yaan sijui chochote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] muite mwalimu nipige chabo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hivi kweli ulikuwa siliasiii??
Yaan nilikua serious nilijisajili sportpesa nikaambiwa wanakata kodi kama DCM la mbagala nikaambiwa niingie mbet ndio nikashindwa kuelewa darasa app bado ninayo sijaifuta
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom