Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Haujaitikoa ndio...hivi sikuitikia! Inawezekana ni hii tangawizi ninayokula saa hizi
Haujaitikoa ndio...hivi sikuitikia! Inawezekana ni hii tangawizi ninayokula saa hizi
Obe huyo kaniambia kakununulia mamaHahaha nileteee mwanangu nipendezeee
Hahaha rahisi sana...dawa inauzwa, kwa kuwa wewe mtu wangu wa karibu kwa mbali kidogo, nitakuunganisha kwa hela ndogo tu, elfu 30,000. Usingekuwa nakufahamu ungelipa 22,400,000/= tu
NamshukurujeeeeeObe huyo kaniambia kakununulia mama
...niseme tu kweli, nimepokea salamu yako kwa unyenyekevu mkubwa kama shehe wa DSM baada ya kupita mitaa ya kwa yule dada yetu wa taifa
nashukuru binamu nmekumiss kwa kweliAtakuja akubetie wkend kpnd hki Obe aendleeKwakweli ebu mwambie![]()
Usirukie bahati ya mwenzio .....akipata yeye atakugaia.... Si ndo ulivyomwambia asikusahauNa mm naomba babu

Usirukie bahati ya mwenzio .....akipata yeye atakugaia.... Si ndo ulivyomwambia asikusahau![]()
![]()
![]()
na mm naomba zangu babu
AhahahhahaAtakuja akubetie wkend kpnd hki Obe aendlee
Ulisoma ukaelewa?mpaka niseme sasa we nipunguzie tu wengine hatujui kuomba
afu ujue nimekumiss sana! Wewe na Yule!Ahahahhaha
Rafiki niliishia pale pale sijarudi tenaUlisoma ukaelewa?
Miss u mnooo nani tena huyo mwingine jirani yako auafu ujue nimekumiss sana! Wewe na Yule!
Mama shikamoo jaman obe kaniambia ana mizigo yako kakununulia mafuta yale ya dred dandruff shampoo na spray na perfume
Eeeeh. Jirani yangu. Nilihama ule Mtaa. Basi imekuwa ngumu sana kumuona!Miss u mnooo nani tena huyo mwingine jirani yako au
Hujui tu vile naumia kukuhamu!Miss u mnooo nani tena huyo mwingine jirani yako au
Zile ndude mama atavaaje na unene ule jamaan...usisahau nimemnunulia wanja na zile ndude nazopendaga shanga aa tu wewe nikizisema. Na angel face, mascara pia usisahau na zile sabuni za kigoma


