Makapuku Forum

Makapuku Forum

...imeisha rasmi tarehe December 30, 17 ila sikwenda kuripoti maana niliwataarifu kuwa nimefiwa na bibi yangu aliyefariki kabla sijazaliwa so imebidi niende nikapalilie kaburi. Wamenipa ruhusa hadi tarehe Jan04, 18.

Kifupi, likizo inaendelea
Pole sana msiba huwa hauishiiii
 
Kama kawa kama dawa. Pita ndani ujipatie simu yenye watsap fesibuku na twita kwa garama ya elufu kumi na ine tu. Karibuni sana wateja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom