Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ile anayotangaza joti na darrasa??Hiyo kungfu unaijua
Ile anayotangaza joti na darrasa??Hiyo kungfu unaijua
Hata sijui mie ndio nimeiona obe kaiwekaIle anayotangaza joti na darrasa??
Ya anko huku sijui kama hipoHata sijui mie ndio nimeiona obe kaiweka
Kumbe zipo nyingi sijui sakayo kanywa ipi sasaYa anko huku sijui kama hipo
Hiyo kulala...vepee! Mambo ya kutokuamka huwa yapo ujue..Atakuwa kalala
thanksNa kwako pia Musso karibuu
Karibu sana sana tuna furahi kukuona tena
AhsanteHappy New Year Bitoz
Ndio ivoKawa kawaida ila sio kama zamani...
Wengine tumekuwa na majukumu kidogo but...tunakuja kupiga stori huku.
AMENAhsante
Nishakaribia
Mungu awabariki
........
HakikaNdio ivo
Nitaibuka mara mojamoja tu
Cha msingi maisha yanasonga
,,,,,,,,,,,,,
Pole sana msiba huwa hauishiiii...imeisha rasmi tarehe December 30, 17 ila sikwenda kuripoti maana niliwataarifu kuwa nimefiwa na bibi yangu aliyefariki kabla sijazaliwa so imebidi niende nikapalilie kaburi. Wamenipa ruhusa hadi tarehe Jan04, 18.
Kifupi, likizo inaendelea
Macho yangu yapo sawasawa aiseeBasi una makengeza mbona me namuona
Nshajiongeza yatoshaJiongezeeee mkubwa wewe
Hahahaaaa hatariiHapana mtani...! Sakayo wangu tuu.
Aki nahisi kukufwaa....
Nimekunywa nini ileee... Kung Fu....
ulikuwa unaenda kupambana na nani