Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
AhahahhhNshajiongeza yatosha
AhahahhhNshajiongeza yatosha
Mbona humuoni sasaMacho yangu yapo sawasawa aisee
Weww ndo uliwafanyiaa tangazo wa kariakoo??Kama kawa kama dawa. Pita ndani ujipatie simu yenye watsap fesibuku na twita kwa garama ya elufu kumi na ine tu. Karibuni sana wateja
Uko poa kapuku ?Macho yangu yapo sawasawa aisee
Ebu muulize na manzese piaWeww ndo uliwafanyiaa tangazo wa kariakoo??
Shemeji sorry mzima?Eti shemeji [HASHTAG]#Mndali[/HASHTAG] ndanyelakakomu namuulizia mume wangu (lyon lee)kama umemuona au alikufa mkazika kimyakimya
Mimi mzima shemeji,asantee kheri naweShemeji sorry mzima?
Kheri ya mwaka mpya
Amen shemeji samahani kwa kushindwa kujibu swali lako nimejikuta jibu limechelewaMimi mzima shemeji,asantee kheri nawe
Muziki: Mdhamini Kafunga Mwaka 2017
...ni udhamini wa kwake Tumosa wakati akitoa salamu zake za kututakia wishes za 2018. Nami bila hiyana naweka muziki huu kwa udhamini wake utfurahishe sote. bahati nzuri huu ni muziki uliobamba sana humu
umegusa penyeweHappy new year shemelaHappy New year 2018 makapuku wote.
Mungu awalinde na muwe na mwaka wa mafanikio.
Niliwamiss watu wangu wa faida, happy new year
KaribuuNiliwamiss watu wangu wa faida, happy new year
Happy new year Roho ya TetraHappy new year shemela
Eti na T![]()
![]()
![]()
![]()
ulikuwa unaenda kupambana na nani
TUOMBE

AmenTUOMBE
Tunakushukuru Baba Mungu kwa Upendo wako mkuu ni siku nyingine Mpya ya JUMANNE TAREHE 2JANUARI 2018 ni kwa Neema Baba na Upendo Mkuu umetuchagua nasi ili kuuona utukufu wako Asante Baba.
Tunaomba toba kwa yote tuliyokosa kwa mawazo maneno na matendo.
Tunakuomba tusaidie kuwasamehe pia waliotukosea walioomba msamaha na hata wasioomba .
Tunakuomba Utulinde Utuongoze na Utubariki.
BARIKI KILA KAZI HALALI YA MIKONO YETU.
Angalia Yatima Wajane Wagane Wafungwa na Waliokata tamaa wape tumaini jipya na faraja.
Ponya Wagonjwa majumbani na mahospitalini Baba kaa na familia zetu Ndoa zetu Wake Waume Watoto Wasaidizi wa ndani majumbani ndugu jamaa na marafiki.
Ukawe dereva wa kila chombo cha usafiri na kila msafiri Majini Nchi kavu Angani akawe salama Damu ya Yesu itufunike .
Tupe Amani na mshikamano katika familia,makundi,makanisani na nchi nzima .
Amani yako itawale epusha migogoro tupe kuchukuliana mizigo kwa upendo na uvumilivu.
Baba Asante kwa kuwa Unatupenda sana sana na utatenda sawasawa na mapenzi yako.
TUNAOMBA NA KUSHUKURU NI KATIKA JINA LA YESU KRISTO AMEN
SIKU NJEMA MBARIKIWE![]()