Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
OkayHapana sjapaniki
Feel ok
,,,,,,,,,,,,
OkayHapana sjapaniki
Feel ok
,,,,,,,,,,,,
Kabisaa MkuuNanyi pia
Naona mnalisongesha tu
Life goes on
......
Yaani wewe umenishinda aki...unataka kugundua nini....nani alikunywesha kuna uzi wako nimrufufua nimecheka
Ahahahh pole sana hivi dada yule wa kwenye uzi nimjuaye mm au mwingine nimecheka kufwaaYaani wewe umenishinda aki...unataka kugundua nini....
Yaani nimeenda mjini nkataka redbull nikaambiwa hiyo ni nzuri kuliko redbull nimekunywa moja tu aki.... Nasikia kukufwa hapa
Nambie chalii yangChalii...
Huyo huyo mdogo wangu.... Kifo kitatutenganishaAhahahh pole sana hivi dada yule wa kwenye uzi nimjuaye mm au mwingine nimecheka kufwaa
Woyoooooooo kwahiyo sasa hivi mambo swafiiii yaan kitu ng'eeerHuyo huyo mdogo wangu.... Kifo kitatutenganisha
MmmmhWoyoooooooo kwahiyo sasa hivi mambo swafiiii yaan kitu ng'eeer
You too mkuuHapi nyu yia family
Na kwako pia Musso karibuuHapi nyu yia family
Kama nakuona sio akili yangu kama nimewakosea mnisamehe ni akili ya heinken tu toka tar 27 mpaka leo nasherehekea bday yangu tu
KaribuAsante mama mchuchu
Karibu sana sana tuna furahi kukuona tenaSikuwepo hapa tangu Sept
Nimekuja(nimerudi) ila sio kama zamani
Niwaimbie kwani tulikwazana ?
Maisha yenyewe haya
...........
Happy New Year BitozNipo rafiki yangu
Maisha tu
.......
Happy New Year Mussolin5Hapi nyu yia family
Duuuuuh na hapo bado zanguuuKama nakuona sio akili yangu kama nimewakosea mnisamehe ni akili ya heinken tu toka tar 27 mpaka leo nasherehekea bday yangu tu

Shunie...nani alikunywesha kuna uzi wako nimrufufua nimecheka