Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Kuchelewa Sifa Mbaya

Unaweza kushangaa
ninavyojishangaa mar nyingi! Na ujue nini, hata sijui nini ninajishangaa maana kila nikianza lazima nianze na salamu, yeah kukusalimia wewe Kapuku unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu bora kabisa ya kuwepo. Asante nyingi kwako wewe unayenisoma sasa maana bila wewe hapa hapavutii.

Well, leo ni usiku mwingine na siku hii imekaa kireggae reggae tu nami bila hiyana sitaki kuchelwa maana kuchelewa si sifa nzuri. Usigune, maana kuna mtaa unaitwa Minuteman street wengi sana wamepanga maeneo haya maana ukitaka kupangishwa au kununua nyumba hucheleweshwi. Nimesema usigune kwani kuchelewa ni relative, wengine ukichelewa ndo unaonekana makini lakini ukiwahi sana ndo utaitwa majina lukuki. Mimi vyovyote iwe, nachelewa na kuwahi kutokana na mazingira sio mazingara nilipo na uhitaji wa wakati huo.

Muziki sasa, bado naendelea na Shaggy, ukimchoka unasema tunabadilisha

Wapiiiii tetra mambo yake hayo
 
Muziki wa Mdhamini

Ni chaguo la Shunie na japokuwa kuna masuala ya utekwaji yaliyomkuta anko wangu popote alipo ninapopajua basi anko mdogo Lyon Lee apokee dedication hii maana ni muhimu anko wangu ajue na akishajua basi sisi wengine tunaungana naye kuhakikisha dawa alizorogezewa zinafanya kazi vizuri.

 
Mchezo wa Netball ndio wenye radha chupi nje nje alafu unakuwa na uwezo mkubwa wa kupima papuchi za wad......da..

...na kabla ya sketi wanatanguliza skinitaiti, basi mjomba wangu haoni raha kabisa kuangalia rede. Siku hizi anaenda kuangalia mashindano ya wadada kuogelea
Mchezo mzur napenda kuutizama ni ule wa kushindanisha vikojoleo..
 
Muziki wa Mdhamini

Ni chaguo la Shunie na japokuwa kuna masuala ya utekwaji yaliyomkuta anko wangu popote alipo ninapopajua basi anko mdogo Lyon Lee apokee dedication hii maana ni muhimu anko wangu ajue na akishajua basi sisi wengine tunaungana naye kuhakikisha dawa alizorogezewa zinafanya kazi vizuri.

Yaan binamu jaman nimejikuta nacheka tu hivi una niniii lakini asante jamaan binamu yangu tunakupenda sisi
 
Huyo hawezi kuwa na presha hizo mambo kashazoea ana list yake akianza na mama ashura mvaa nini sijui bado muuza chapati na yule muuza supu akiwapanga kutoka mtwara mpaka dar wanafika
Teh teh teh.. huo ndio ukidume, huwez kuwa na mwanamke mmoja, kwan mama yako mzaz huyo.. (in sheikh kipozeo's voice)
 
...nimemuona tu Maka throwing kisses to my apple pie husna muba utasema anko Magu akipiga pushups kwenye kampeni.

Ila ujue nini, Husna na mimi yaani Husobe ni ngumu sana kututenganisha, at least for now. Hivyo usiogope sana aunty na ninashukuru kwa kuliona hilo
Yaan jombaa unaamin mim ntakufanyia figisu figisu katika penz lako, siwez na sifanyi michezo hyo mama kanikataza mimi, mpaka ntakapooa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom