Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Are you serious?!Mpwawa
Are you serious?!Mpwawa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ahhh samahani Nini wa hehe na wabena kumbe kweli ni Mkwawa.
Moraning hunieMorning all kapuku
Shukrani binamu kea udhamini wa magazeti...asante sana mdau kwa kunipa heshma ya kudhamini magazeti.
Ujue nini, safu ya magazeti ndo hutufanya makapukupu tuianze siku vizuri kabisa.
Furahiday Njema Makapuku.
NB: Mkiwa mnashukuru Shululu kuweka magazeti msinisahau mdhamini
[emoji3] [emoji3] [emoji3]...usalama upo sana, hakuna usilojua yote unayajua, ukipata jipya ujue sijafanya mimi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mke mwee[emoji1]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Obe ww ni pasua kichwa...hapa ni lazima tuweke tofauti maana kuna kilele cha Kilimanjaro na kunakukifikia kilele, sasa sijalewa nitaenda na maana ya kihistoria
Ni hiki hapa chini ...
![]()
na sio kilele kwa maana ya orgasm maana Ijumaa hii huwezi kujua mtu kaianza saa ngapi
![]()
Mchapio uleeeMoraning hunie
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kilele!!! Kwahyo watu walifikishwa kileleni.. [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] Obe ww ni pasua kichwa
[emoji8] [emoji8]Morning shemela