Makapuku Forum

Makapuku Forum

...hapa ni lazima tuweke tofauti maana kuna kilele cha Kilimanjaro na kunakukifikia kilele, sasa sijalewa nitaenda na maana ya kihistoria

Ni hiki hapa chini ...

images


na sio kilele kwa maana ya orgasm maana Ijumaa hii huwezi kujua mtu kaianza saa ngapi

giphy.gif
mie nkajua orgasm..
 
Mie japo nilifeli ila picha yake nilioona katika kitabu


....bora wewe uliona picha, mimi hata kusoma nilikuwa sijui, wakanirudisha la pili ila nikawa nasoma na wa la kwanza ndo baadaye nikafaulu la nne. Niliona picha na nikasoma kumbe anaitwa Mtemi/Chief Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (1855–19 July 1898) aka Mkwawa
 
....bora wewe uliona picha, mimi hata kusoma nilikuwa sijui, wakanirudisha la pili ila nikawa nasoma na wa la kwanza ndo baadaye nikafaulu la nne. Niliona picha na nikasoma kumbe anaitwa Mtemi/Chief Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (1855–19 July 1898) aka Mkwawa

Mie tatzo chimbo ilizid, sikuenda shule siku zote ila siku ya mkwawa nikabahatika kwenda, tatzo mtihani hawakutoa kwenye mkwawa nikapata sufuri bin sifuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom