Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Mawazo yako umeyapeleka mbaaliKilele!!! Kwahyo watu walifikishwa kileleni..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mawazo yako umeyapeleka mbaaliKilele!!! Kwahyo watu walifikishwa kileleni..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Unakajua?!Venice ni kamji kazuri..
ThaaaanaMawazo yako umeyapeleka mbaali
Ndio..Unakajua?!
Ya mtemi mpwawa haipo.. hivi alikuwa mtemi wa wapi huyu..![]()
![]()
![]()
Ila ya mkwawa ipo![]()
kunradhi, kitumbua c andazi
alikosea kutypeBasi yaisheeeMpwawa bhana, we unataka kuniambia na ukubwa wote huo anashindwa kuandika mkwawa mpaka umuandikie wewe..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wewe sio mkwawa ni mpwawaYa mtemi mpwawa haipo.. hivi alikuwa mtemi wa wapi huyu..![]()
![]()
![]()
Ila ya mkwawa ipo![]()
kunradhi, kitumbua c andazi
Vizuri...huwa natizama movie za kitambo kuanzia namna biashara ilivyoanza na kusambaa. matumizi ya fedha/hela/sarafu dhahabu na kanuni za uhasibu basi Venice/Italy, Uturuki, Iran huzikosi
Duuu....huo mjina mchungu km klorokwini....bora wewe uliona picha, mimi hata kusoma nilikuwa sijui, wakanirudisha la pili ila nikawa nasoma na wa la kwanza ndo baadaye nikafaulu la nne. Niliona picha na nikasoma kumbe anaitwa Mtemi/Chief Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (1855–19 July 1898) aka Mkwawa

LabudaaTeh teh teh.. hii ni kali.. kwani simba anaogopa macho.. au ndio atahisi anaonwa anaonwa..
Majukumu yamembanaJamani, rafiki yangu mkubwa Bitoz alipotelea wapi?
Uyoo si professor wa Xman.Mie japo nilifeli ila picha yake nilioona katika kitabu![]()
![]()
![]()
Hahaa.. huyu alikuwa ana asili ya uzaramoni..
Husna huna udugu nae huyu..
Mie tatzo chimbo ilizid, sikuenda shule siku zote ila siku ya mkwawa nikabahatika kwenda, tatzo mtihani hawakutoa kwenye mkwawa nikapata sufuri bin sifuri.
siku ya mkwawaHaya weeNdio..
MpwawaNi mpwawa au mkwawa?!
Wewe sio mkwawa ni mpwawa
