Makapuku Forum

Makapuku Forum

1713d68ee308c1f39e713bda6df94fe7.jpg
 
...asante kwa ufafanuzi, haya mambo ya kileleni bhana mtu kama mjomba wangu bila kumfafanulia hivi utamwingiza dhambini bure atataka kwenda kwa MC akamdadavue vizuri

Mind you, kumdadavua ni kumchimba ili aelewe yaani afike kileleni, am I making myself clear or what?
 
NENO LA SIKU

YAKOBO

5:15-18

Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii. Eliya alikuwa mwanadamu mwenye tabia moja na sisi, akaomba kwa bidii mvua isinyeshe, na mvua haikunyesha juu ya nchi muda wa miaka mitatu na miezi sita. Akaomba tena, mbingu zikatoa mvua, nayo nchi ikazaa matunda yake.
SIKU NJEMA WAPENDWA TUOMBEANE...LOVE YOU
Love you too..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom