Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Karibu kapuku
Karibu kapuku
Bongo movie

Hv "German machine iliishia wapi?!msinishangae... nauliza mda now ni saa ngapi kwa saa za kihome home ...nilipo hakuna ata jogoo
1973 - Margaret Wilson, mwandishi kutoka Marekani alifariki
1101 - Mtakatifu Bruno wa Cologne, padri mmonaki kutokaUjerumani alifariki
Aahh.. nilikuwa najionea tabu tuuPamoja sana, naona leo mapema kabisa hata Waingereza huwaangalii
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mpendwa banaa
Yaani watu walikuwa wanapanda mlima but wanaishia njiani hawafiki mwisho
So Leo ndio MTU alifika kileleni kwenye mlima huu kwa Mara ya kwanza
...alikuwa mtemi wa wapi huyu kweli?
![]()
Maana tunamjua Mkwawa wengine tuliofaulu mtihani wa darasa la nne
![]()
Anko heshima kwako
Na kwako pia kapukuView attachment 603063Asubuhi njema makapuku wote