Makapuku Forum

Makapuku Forum

c97d8699c9136cb052ada2d173575dcb.jpg
Karibu kapuku
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mpendwa banaa

Yaani watu walikuwa wanapanda mlima but wanaishia njiani hawafiki mwisho
So Leo ndio MTU alifika kileleni kwenye mlima huu kwa Mara ya kwanza


...asante kwa ufafanuzi, haya mambo ya kileleni bhana mtu kama mjomba wangu bila kumfafanulia hivi utamwingiza dhambini bure atataka kwenda kwa MC akamdadavue vizuri

Mind you, kumdadavua ni kumchimba ili aelewe yaani afike kileleni, am I making myself clear or what?
 
Back
Top Bottom