Makapuku Forum

Makapuku Forum

7532a0ecc282883aabf432b020554d88.jpg
Jamaa upo kozi nini..
 
...lakini seems Samatta anawatu wazuri wanamshauri kuhusu maisha yake ya mpira, Congo alikuwa anatengeneza hela nzuri na sasa anatengeneza nzuri zaidi na bado hatujamsikia akiwadropped kwenye kikosi na skendo za ajabu, kwangu namuona anaishi kiprofessional kabisa na si ajabu muda si mrefu tukaanza kumuona kwenye ligi kubwa kubwa dunia ya soka

samatta2.jpg

Muangalie hapa, utagundua kuwa anajua anafanya nini.

26731-kipingu2.jpg
Samatta ana kiu ya mafanikio.. kufeli kwake ni ile hali ya maisha tuu lakin si kupenda kwa kuridhika kama hashim.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom