Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Acha bwana ebu nirudi nyuma sasa hizi mb sizitaisha woiiiiUmesahau tuu ni wimbo mmoja wapendwa kweeeli

Acha bwana ebu nirudi nyuma sasa hizi mb sizitaisha woiiiiUmesahau tuu ni wimbo mmoja wapendwa kweeeli

Hahaa.. lee siku mbili hizi simuelew, hebu mfungeni kamba kwanza, ndio miez yake hii![]()
![]()
una wazimu eeeh

Baby..Sauti yangu ni sheeedaa.... Mtajaa pm
Jamaa upo kozi nini..
HahahaAcha bwana ebu nirudi nyuma sasa hizi mb sizitaisha woiiii![]()
Mie na wewe tena shemeji.. sema jingine hilo limepita.Nikienda kwa mjumbe ww utakuwa shahidi
Sauti yangu ni sheeedaa.... Mtajaa pm








sauti ipiiiiiii ninayoijua mie au nyingineSijatupa ujue.... Hata Pole jamaniiTigo..
Au ndio ile simu uliyotupa
Samatta ana kiu ya mafanikio.. kufeli kwake ni ile hali ya maisha tuu lakin si kupenda kwa kuridhika kama hashim....lakini seems Samatta anawatu wazuri wanamshauri kuhusu maisha yake ya mpira, Congo alikuwa anatengeneza hela nzuri na sasa anatengeneza nzuri zaidi na bado hatujamsikia akiwadropped kwenye kikosi na skendo za ajabu, kwangu namuona anaishi kiprofessional kabisa na si ajabu muda si mrefu tukaanza kumuona kwenye ligi kubwa kubwa dunia ya soka
![]()
Muangalie hapa, utagundua kuwa anajua anafanya nini.
![]()
Mkuu uko monduli..
Pole mpaka ule mzigo wa Dubai uingie...Sijatupa ujue.... Hata Pole jamanii
Safi kama kwa mzee safi.Niaje bandugu..
Kozi ya kupost picha eeh?Jamaa upo kozi nini..
MmmmhPole mpaka ule mzigo wa Dubai uingie...