Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Huwa unaendaMjibu baba d kuhusu mimi na kanisa
Ila inategemea kama jmos hujachoka sana
Huwa unaendaMjibu baba d kuhusu mimi na kanisa
Ila ya yule bidada kwakwel haikuwa poa, kila mmoja analalamikaSisi na team yangu wasomaji tu na kuchombeza ila jana tuliwaachia liinterview lao watu wanatufata mjue kule kumepooza uzi hauendi kabisa
Wasaidieniiii![]()
![]()
![]()
kabisa maana vijana wa sasa ivi wanatongoza tu ovyo ovyo
Baba D jamaanHuwa unaenda
Ila inategemea kama jmos hujachoka sana

huyo nikimuuliza lazima atakutetea tu![]()
![]()
Muulize Baba D
Viben 10unatakiwa uwe makini la sivyo mwisho wa siku unakutana na mipicha yako imejaa jukwaani

Naanzaje kuvaaaYani nimejikuta nacheka kwa sauti



labda kama nipo shambame enterview sitaki kazi yangu kusoma tu nakuchangia umbeaSi ndio mzee wa interview jamaan
Mmh acha nifunge mdomo wangu mie, yaliyopita yameshapita nowa tunaganga mapya, afu nawe bidada muache DJ wa watu banaTafuta uzi uone tena aliaga usiku mwema jamaan ngoja nikaongee na baby wangu moneytalk kwenye video call whatsapp me siongei uongo ujue
Ewaaaaaaaame enterview sitaki kazi yangu kusoma tu nakuchangia umbea
Mbona hajanitetea sasahuyo nikimuuliza lazima atakutetea tu
Hahahaaaa nyie wabaya
kama zingekuwa za uchi ndo ningekufa kabisaViben 10unatakiwa uwe makini la sivyo mwisho wa siku unakutana na mipicha yako imejaa jukwaani
Mzikiii wa leo unaujuaaa wewe ...![]()
![]()
![]()
na kesho siendi
Kweli ujue baba d au umewekwa kwa avatar yaan humu jf unatakiwa uwe makini sana la sivyo inakula kwako
Aliniambia atanialika kwenye sherehe ya U MC kwake ila nisijifanye mjuaji kuliko yeyeupii wa kuhusu mumewe au sakayo ana mkwara buana
Mie sitaki viben 10Wasaidieniiii