Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Nikupingee wewe ili usiku uwe mrefuu.....Hapana sitaki mimi
Kabadili tu I'd ni ile ileNaona umekuja na id mpya bana
sikubali ng'oooKweli baba d yaan hana pa kutokea akubali tu alikosea alijichanganya basi kuteleza sio kuanguka

Na utakuwa mrefu kweli me nimelala we hakulalikiNikupingee wewe ili usiku uwe mrefuu.....
Ila ilo sio pambosikubali ng'ooo![]()
![]()
![]()
kwakwelUngefurahi sa ngapi bila kuna kwetu
Acha tu nibaki na wivu wangu tu wala sipunguzi![]()
![]()
![]()
pole punguza wivu
Hivi kumbe ni wivu ??![]()
![]()
![]()
pole punguza wivu
jaman mie ndo mgeni humu, wakunikaribisha ni weweMamboo mremboo,Unaweza nikaribisha kwakoo
Nakujuaa ukishanunaaa ...bhas maswali yangu nayatupa msalaniNa utakuwa mrefu kweli me nimelala we hakulaliki
Anamanishaa pm huyooojaman mie ndo mgeni humu, wakunikaribisha ni wewe
EwaaaaaaaNakujuaa ukishanunaaa ...bhas maswali yangu nayatupa msalani
Acha nikupendee tuEwaaaaaaa
huyu mama d wako nilimwambia iko siku nitamng'ata ili aache umbeaUmeona alivo mbaya ....kumbe kitu bado mukidemukideee ful kusasambuana