moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 8,040
- 16,870
Tatizo haupo huku ni huku pekee ndio utakutana na Neno la Bwana huko kwingine ni kupiga soga tu
haya mama wa kanisaTatizo haupo huku ni huku pekee ndio utakutana na Neno la Bwana huko kwingine ni kupiga soga tu
haya mama wa kanisa
Huamini au sasa kama humwamini ninayelala nae utamwamini naniMmmh![]()
![]()
MmmmmhAlimsamehe badae wakaja kuachana rasmi kwenye uzi mmoja hivi mbele yangu na kutoleana maneno ya kashfa
kwa umbea huyu ndo mwenyeweNa umbeaa
KweliiiiMmmh![]()
![]()
Nimekoseaa keyboard imezoea kutuma kwakoo....
Ila nimekis kizungu ha mkononiii....

We Baba D jamaanNimekoseaa keyboard imezoea kutuma kwakoo....
Ila nimekis kizungu ha mkononiii....
Nimefurah kuona ujio wakome mzima shem wangu
Mond?I miss you guys aisee
Baba D huyo mgeni rafiki yetu na mama jj tumemleta jana si ndio huyu wa muosha masufuriaaliyeombwa msamaha
umeanza tenaAmeniMungu unihifadhi mimi kwa maana nakukimbilia wewe
Nimemwambia Bwana ndiwe Bwana wangu sina wema ila utokao kwako![]()
ZABURI 16:1-2
MUWE NA JUMAMOSI NJEMA KWENU MBARIKIWE SANA![]()
![]()

Shemejii yupi sasaKaribu kipenzi hapa ndo home kuna watu kibao hope hutajutia kupafahamu,shemeji yako mmesalmiana lakini
Hapana lazima Baba D ajue we ni nani ujue jamaan![]()
![]()
![]()
umeanza tena
KumbeeeeWa sakayo atakuja anaitwa Transcend si amekwambia jana kaacha mume huku
Sema ukweliii??kwa umbea huyu ndo mwenyewe