Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Muache ajipe raha banaaMkuu..
Kuwa na heshima basi..
Mbona unakuwa na mambo ya kike?

Shauri zakeAnaogopa kuopoa bibi zake![]()
![]()
Ndio s huyo?
Raha zake ila asinihusishe mimi wala Sakayo.Muache ajipe raha banaa![]()
![]()
NdioNdio s huyo?
Nimeokoka bro ila Chid akimaliza ngoma yake na Pac na mimi nitafanya Remix nimshirikishe na Notorius BIG

Me na urojo tofautiNITAKULETEA UROJO TRH 10..
Si unajua vile nawapenda wewe na lee.
Lee haendi tena mmu.! Afu weww sitaki nikukwaze kabisa yaani.
Manake dude likiamshwa wewe ndio ndio unakuwaga msaada wangu.
Sasa upumzike. D analia huko.






dudeeee
Hiyo ya kutekwa tena we shemela hapanaKwa nini shemela
Dude ndio..dudeeee
Nimecheka nini ujue T mana likianza kuamshwa tunabadilikiwa wote leo nimeongea nae kwenye simu nimemsema sana dada ananiambia T ndio kakutuma nikamwambia T sijaongea nae chochote ila tu sipendi mimi ukianza mbadilikia TDude ndio..