shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kwa nini shemelaNimejikuta nacheka tu shemela wewe hapana jaman
Kwa nini shemelaNimejikuta nacheka tu shemela wewe hapana jaman
Mimi simo...... Shululu na Tetra wacheni uchocheziBinadamu wabayaaa
Hakikisha unamsaidia kwa hali na mali....Siku hizi nazingatia sana ibada..
Tena nilivyompata na mjukuu wako ndio kabisa..
We Msubiri alete hilo ombi.... Akifika tu mpime mkojo.Mkuu umekunywaa viroba au ndo mambo ya tupac na chid benz

Asante babu kwa kuwaleza vizuri..
Mimi na lee tunafaidi sana.
Anakula ugali na picha ya samaki.... Samaki hamgusi T.... Anamuongeza utamu tu.Mkuu..
Kuwa na heshima basi..
Mbona unakuwa na mambo ya kike?
Ndo maana mimi babu yenu sipati tabu sasa hivi.Amina babu...
Wajukuu wako uliwalea vizuri sana
Baba lala




Nani alale..Nakuona umelala fofofo