Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Usijali babaa... Mie ndo dere wako
Usijali babaa... Mie ndo dere wako
That's true.....
Can't wait...I want to hug you..
Marhabaa!! Natumai huumwi lakini maana leo ni ijumaaDr. Jimena..
Shikamoo
Teh...
AsanteTOP TEN
Kama kawaida week end huanza ijumaa ila kwa watu wenye mkwanja wa maana kila siku ni sawa na week end yaani kama ni kupiga mitungi wanapiga kila siku
Kwa sisi tunaoishi uswahilini kipindi cha JK kila siku kwetu ilikuwa ni week end ni mwendo wa kupoga viroba kuanzia asubuhi,usiku tunaruka vigodoro huku giza likiingia tunajiachia na akina Mwajuma ila awamu hii ishaleta mkosi sheria kibao za kibwege utafikiri nchi ya kusadikika iliyoongozwa na Mfalme Juh.a![]()
Haya sasa nimalizie week mapema kwa kumi kubwa zen watu tuendeleeratiba zetu za kula gambe
Juzi juzi nilimwelrzea Hulk Hogan kwamba babu anapiga prsa yule kutokana na mchezo wa mieleka na filamu
Sasa leo tuwaangalie wanamieleka kumi wenye mpunga wa kueleweka
Wapo wengi ila nimewachagua kumi tu
Karibuni
..........
Kichwa cha mwendawazimu hope kilishatolewaRATIBA YA MECHI ZA LEO
AFRICA NATIONS CHAMPIONSHIP QUALIFICATIONS
![]()
Marhabaa!! Natumai huumwi lakini maana leo ni ijumaa
Hivi unajua kama una ugomvi na mimi?? Mbona Nukuu haziji??



8/Stephanie McMahon![]()
![]()
![]()
Alizaliwa Septemba 24 mwaka 1976
Ukimwangalia haraka haraka unaweza fikiri ni mrembo tu wa chipsi mayai kumbe yupo fiti na siyo wa kuchokozwa chokozwa
Huyu ni malkia wa mieleka duniani
Ndiye mwanamieleka maarufu wa kike na anapiga pesa ndefu kimyakimya
Ni binti wa mcheza mieleka maarufu wa zamani Vince McMahon ambaye alitamba vilivyo
Anatajwa kuwa mwanamieleka wa kike mrembo zaidi duniani
Ana utajiri wa USD 25 Milioni ila Vyanzo vingine vinadai ni USD 60 Milioni(labda wanaongea utajiri wa familia au buzi lake)
.......
Daaah! Unataka nitokwe na chozi...Teh...
Yo my man remember...

Mmmmh kumbe Umaga alikufasuala sio hilo yan nikae niangalie watu wakipigana yan wakaumizana ni kama ilivyo mpira ngumu kunishawishi tena at least hata mpira sasa hivi sio huu kwa kweli mtu anapigwa na kiti kama marehem umaga na kidole chake hahahhaa
bora nilale tu
Madame S

Usilie jamanii...Daaah! Unataka nitokwe na chozi...
Toka kambi za mmu hadi kapuku..!![]()
Eee
Hiyo kitu haipandi mimi mkuu
5/Triple H![]()
![]()
![]()
Alizaliwa Julai 27 mwaka 1969
Namwongelea Triple H na sio yule Triple 6 wa Jf ambaye ni maarufu kwa kutukana
Huyu ni bingwa mara kadhaa wa mieleka na pia ni mcheza filamu mahiri
Triple H maana yake ni Hunter Heart Hensley sasa kama ulijua ni tofauti sawa na zile KKK mimi sijui
Anatajwa kuwa miongoni mwa masupastaa wa WWE wa muda wote
Ana utajiri wa USD 30 Milioni
....................................
Zitaendelea baadaye
My sweetheartVp mkuu