Makapuku Forum

Makapuku Forum

95879cfe052a5cbc41232c1a9f5513cd.jpg

Wanasayansi huliita tunda hili mfalme wa matunda duniani kutokana na kuwa na kazi nyingi mwilini kuliko matunda yote

Ukiacha kuukinga mwili na kemikali hatari na kuweka kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mengi sana
Sifa kuu ya tunda hili ni pamoja na kumfanya mtu kutokuonekana mzee hata kama umri wake ni mkubwa mno
I think wana- sayansi hawapendi uzee

Joked

post using my macbook air using jamiiforums app
 
5/Triple H
04cc1c7dd704a5a6e5280c00bb60c769.jpg
e2471223c22bd8d45a5c5dfbd10cca42.jpg
4bf37e2639bb8267384bd1bbc83eab03.jpg

Alizaliwa Julai 27 mwaka 1969
Namwongelea Triple H na sio yule Triple 6 wa Jf ambaye ni maarufu kwa kutukana
Huyu ni bingwa mara kadhaa wa mieleka na pia ni mcheza filamu mahiri
Triple H maana yake ni Hunter Heart Hensley sasa kama ulijua ni tofauti sawa na zile KKK mimi sijui
Anatajwa kuwa miongoni mwa masupastaa wa WWE wa muda wote
Ana utajiri wa USD 30 Milioni
....................................
Zitaendelea baadaye
 
f0e5d782183a3b38db274278050d4073.jpg

Je wajua mwili hauna sehemu ya kuhifadhia maji wala haujawahi kuhifadhi maji?
Ndio maana tunashauriwa kunywa maji safi na salama kila siku kama lita 3 ukiweza japo 5 ndio hushauriwa

Mwili unahitaji nguvu iletwayo na maji
Maji kwa mwili ni sawa na hela kwa binadamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom