Makapuku Forum

Makapuku Forum

0c1b34c398801702e60b65c29a4f3193.jpg

Ngoja nitest mitambo hapa
Ipo siku nitaingia baharini kuisaka hiyo rekodi

....
Mitambo ya kinyaki
 
Leo katika Historia

2008 - Rais Pervez Musharaf wa Pakistan, analazimishwa kujiuzulu wadhifa wa Urais wa nchi hiyo.

Licha ya kuwa Rais, pia alikuwa ni Jenerali katika Jeshi la Nchi hiyo.
7a5c2d09e29da5226c886d45d3bd5ac4.jpg
6dcbb3e63d3d1cdcc7c2b2ba8a77438b.jpg
06e05a6d0b16f27c9f9a54e50df77ac6.jpg
Aliingia madarakani mwaka 2001
Alifanya hivyo ili kuepuka kuwajibishwa na bunge vote impreachment kwa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye Vote of no confidence achana na kibunge chetu uchwa kinayoona Rais ni mungu mtu na kumpa kichwa ingawa ana bichwa kubwa lenye ngeu

Hivyo Pervez alijiuzulu kulinda heshima yake
........
 
Leo katika Historia

1933 - Just Fontaine anazaliwa.
Ni straika wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ufaransa.
Anashikilia rekodi ya kufunga magoli 13 katika michezo 6 aliyocheza ya kombe la Dunia, katika michuano iliyofanyika pale Sweden mwaka 1958.
Alishiriki kombe la Dunia mara moja na Kufunga goli 13. Ni rekodi ya pekee.

c4a5a65743f217a24159ce0438e8f69c.jpg
833a41f8d9c81710d2ac1f4bac6cba06.jpg
d3a6852ba95a1077f4592d36c58282f9.jpg
Duh miaka 84 sio haba
Mzee wa kutupia
......
 
Leo katika Historia

1980 - Esteban Cambiasso anazaliwa.

Ni kiungo mkabaji wa zamani wa Real Madrid, Inter Milan, Leicester City na timu ya taifa ya Argentina.

Anajulikana zaidi kwa staili yake ya Kipara.

Katika Kombe la Dunia mwaka 2006, Cambiasso alifunga goli dhidi ya Serbia, goli hilo lilitokana na idadi ya pasi 23 bila kuguswa na mchezaji wa Serbia.

4cb247b075ab36a8df4265b04339c3c4.jpg
1ee4c993cb9b15ab17a48b9b063eaec2.jpg
e0130d3d8248bba377844f517a3d6410.jpg

Kipara ni dalili ya upungufu wa akili ? - …:
Anko Cambiasso alitisha
......
 
Leo katika Historia

1984 - Ni siku ya kuzaliwa kwa Robert Huth.

Ni beki wa zamani wa Chelsea, Stoke city na Leicester City.


Alikuwa ni sehemu muhimu katika timu ya Leicester City iliyobeba ubingwa wa EPL msimu uliopita ambapo alitengeneza kombinesheni ya hatari na Captain wa Leicester, Wes Morgan.
88ef6f7b35ffb9b95f6cbeeedba60236.jpg
8d7cdc8f9a97fb15cbdde9ee8a8d2660.jpg
f2c446d2b43995f6b822ea43334be577.jpg

Leicester ya sasa haina tofauti na Njombe Mji
Yupo vizuri kwenye free kick
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom